Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CHAMA CHA WANAFUNZI WATANZANIA NCHINI ALGERIA (Association of Tanzanian Students in Algeria) Kwa kifupi ATSA. b)Chama kiliundwa na wanafunzi Watanzania wasomao nchini Algeria ; Mwezi Aprili mwaka 2002 katika mji mkuu wa Algeria, Algiers. c)Makao makuu ya chama yapo Algiers
1 comment:
Aisee, nawapongeza sana kwa jitihada zenu munazoonyesha huko ughaibuni. Ni Watanzania wachache sana wenye moyo kama huo. Tumekuwa tukisikia jinsi ndugu zenu wanavyobaguana wakiwa Ugenini. This is too bad! Naomba Mungu awajaalie Chama chenu kikue.
Post a Comment